Sunday, April 10, 2011

RAMANI ZA KIHISTORIA

Je,unaweza kukumbuka kuwa watanzania tumetoka wapi? Tuliishi katika mfumo gani? na tulijishughulisha na nini mpaka kufikia hapa tulipo? Kama una mawazo yoyote basi waweza kuchangia pia kupitia Blog hii.Jikumbushe na tukumbushane pia kupitia mtandao.
Kumbuka ELIMU HAINA MWISHO PANUA UBONGO WAKO KWA VITU VYA MSINGI.
Bonyeza hapa ili uweze kuona Ramani za Kihistoria.....

Monday, January 10, 2011

Thursday, January 6, 2011

Baadhi ya starehe zisizo na umri maalumu.

Kweli mchezo huu ni mtamu.
       Siku zote katika maisha kuna vitu muhimu na muhimu vya kufanya.Kila mtu ana starehe yake anayo ipenda kuifanya hasa kipindi anapokuwa hana shughuli za kufanya.

Monday, January 3, 2011

KWAHERI MWAKA 2011 KARIBU MWAKA 2012!

NIAJE WANA USOKITABU...
             Mambo vp wana facebook,hope mko poa ile mbaya coz cjaskia vilio vya hapa na pale kwa idadi ya kutisha kama kipindi kilichopita,ila yote kwa yote nawapongeza watanzania wote kwa kusherehekea kwa amani hasa pande flani hivi za........